Alhamisi, 3 Desemba 2015

MATUNDA(FRUITS)

MAHITAJI
1.Parachichi vipande 2
2. Nanasi vipande 2
3.Papai vipande 2 
4.Tikiti maji vipande 2 
5.Ndizi vipande 2 
6.Tango vipande 2 
7.Karoti vipande 2 
8.Embe vipande 2 

JINSI YA KUANDAA
1.Chukua sahani uipendayo
2.Kata kata kila tunda vipande viwili umbo upendalo
3.Panga kwenye sahani yako kwa muonekano wa kuvutia
4.Unaweza tumia Uma au tooth pick kula matunda yako 
Angalizo:
1.Osha matunda vizuri kabla ya kuyandaa 
2.Andaa matunda yako kwa usafi wa hali ya juu
3.Vizuri kula matunda dakika 10 kabla au baada ya kula chakula

Furahia Matunda Yako
 

0 comments:

Chapisha Maoni