Jumanne, 17 Novemba 2015

Mboga ya Spinach


1.katakata Mboga yako kisha ioshe vizuri kuondoa michanga yote.
2.Kisha kaanga kitungu maji kisha weka Pilipili hoho kisha Keroti.
3.vikipiga brown weka Nyanya moja na Chumvi kiasi acha vichemke.
4.Malizia kwa kuweka Tui lako
5. Acha ikauke
6.Pakua Mboga yako tayari kwa kula.
posted from Bloggeroid

0 comments:

Chapisha Maoni