Jumatatu, 30 Novemba 2015

UGALI SAMAKI

MAHITAJI 1.Samaki umpendae 2.Pilipili ya kuwasha 1 3.Vitunguu thomu punje2 4.Chumvi kiasi 5.Ndimu 1 kubwa 6.Mafuta kikombe kikubwa 1 7.Unga wa sembe robo 8.Maji kiasi MAANDALIZI 1.Osha Samaki wako baada ya kumpara na kuondoa Maganda yote 2.Mkate Kate au mpasue tu ili aweze kuingia Viungo vizuri 3.Twanga Pilipili, Kitunguu thomu na Chumvi kisha...

Alhamisi, 26 Novemba 2015

KATLESI ZA SAMAKI(FISH CUTLETS)

MAHITAJI/INGREDIENTS 1.Viazi mbatata nusu(Vyenye Ngozi Ya Brown)  1/2 Kg Potatoes(Russets) 2.Samaki 4(Vibua)  4 Fish(Razor Bellies fish) 3.Mafuta ya kupikia litre 1  1 Litre Cooking Oil 4.Mayai 4  4 Eggs 5.Keroti Kubwa 1  1 Large Carrots 6.Ndimu 4  4 Lemon 7.Kitunguu thomu punje kubwa 6  6 Garlic Cloves 8.Chumvi...

Jumapili, 22 Novemba 2015

CHAPATI ZA MTINDI

MAHITAJI 1.Unga wa ngano nusu kilo 2.Mtindi wa ml 750 3.Chumvi kijiko cha chakula 1na nusu 4.Sukari nusu kijiko cha chakula 5.Samli kikombe kidogo cha chai nusu 6.Mafuta ya kupikia nusu kikombe 7.Maganda ya Chungwa kijiko cha chakula 1 8.Juice ya chungwa vijiko 4 9.Maziwa ya unga robo kikombe 10.Ute wa mayai 2 11.Kungu manga(sio lazima)    MAANDALIZI 1.Chunga...

Jumapili, 22 Novemba 2015

NDIZI ZA NYAMA

MAHITAJI 1.Ndizi mbichi 2.Nyama robo 3.Nyanya kubwa(Tungule) 4 4.Nazi moja kubwa 5.Ndimu 1 6.Karoti 1 7.Pilipili Hoho(Pilipili boga)1 8.Kitunguu maji kikubwa 1 9.Kitunguu thomu punje 3 10.Nyanya ya Paket vijiko vya chakula 2 11.Royco(Sio lazima) 12.Tangawizi na kitunguu thomu ilotwangwa kijiko cha chakula 1  MAANDALIZI 1.Osha viungo vyako...

Jumapili, 22 Novemba 2015

EGG KEBAB(JICHO LA MKE MWENZA)

MAHITAJI 1.Nyama ya kusaga robo 2.Mayai 10 3.Kitunguu maji kikubwa 1 4.Kitunguu thomu punje 5 5.Mdalasini wa unga nusu kijiko cha chakula 6.Uzile(Binzari nyembamba) kijiko 1 cha chakula 7.Pilipili manga nusu kijiko cha chakula 8.Pilipili ya kuwasha 1 9.Chumvi kiasi 10.Mafuta ya kupikia nusu lita 11.Karoti 1 12.Pilipili boga(Pilipili hoho) 1 13.Paprika(sio...

Jumamosi, 21 Novemba 2015

SALAD

MAHITAJI 1.Vitunguu maji 3 2.Tango kubwa 1 3.Nyanya kubwa 3 4.Karoti 1 5.Pilipili boga(Pilipili hoho) 1 6.Ndimu 1 7.Chumvi MAANDALIZI 1.Osha Vitu vyako nilivyo taja hapo juu  2.Kisha kata kata vitu vyako kwa shape upendayo na uviweke mbali mbali yaani kila kitu na sehemu yake 3.Chukua vitunguu maji vioche na chumvi 4.Chukua kipario(Grater)...

Jumamosi, 21 Novemba 2015

KABABU ZA NYAMA(MINCED MEAT KEBAB)

MAHITAJI 1.Nyama ya kusaga robo   1/4kg Minced Meat 2.Kitunguu maji kikubwa 1    1 Large size Onion  3.Vitunguu thomu punje kubwa 3    3  Garlic Cloves  4.Tangawizi kijiko Cha Chai1(ilotwanga)    1 Tea spoon minced Ginger  5.Pilipili ya kuwasha 1(au zaidi kama mpenzi wa pilipili)  ...

Jumamosi, 21 Novemba 2015

ZEBRA CAKE

MAHITAJI 1. Blue band robo 2.Sukari robo(kama sio mpenzi wa sukari usiweke yote) 3.Unga nusu 4.Cocoa kikombe kimoja 5.Zabibu kavu kiasi  6.Maziwa kikombe kimoja 7.Baking powder kijiko kimoja 8.Mayai 5 9.Arki vanilla kijiko kikubwa kimoja 10.Chumvi kiduchu MAANDALIZI 1.Chunga unga na uweke chumvi na baking powder 2.Chukua chombo weka...

Ijumaa, 20 Novemba 2015

BADIA ZA KUNDE NA CHATNE(BLACK EYED PEAS BADIA WITH CHATNE)

MAHITAJI/INGREDIENTS -BAGIA 1.Kunde za bagia(kunde za kuparaza) robo kilo  1/4Kg Black Eyed Peas 2.Mafuta ya kupikia nusu lita  1/2 litre Sunflower Oil 3.Vitunguu maji vidogo 4  4 small size Onion 4.Kitunguu thomu punje kubwa 10  10 Cloves of Garlic 5.Kotmiri kiasi  Coriander to taste 6.Chumvi kiasi  Salte...

Alhamisi, 19 Novemba 2015

MAANDAZI YA NAZI(MAANDAZI YA MAFUTA) FRIED ANDAZI

MAHITAJI/INGREDIENTS 1.Unga wa ngano nusu   Plain Purpose Flour 1/2 Kg   2.Sukari Kikombe cha Rice Cooker 1(Kijae)   Sugar 1 Cup of Rice Cooker(Full)    3.Chumvi kiduchu   A pinch of salt 4.Hiliki punje 10  10 pieces Cardamon 5.Custard kijiko kimoja cha chakula(Sio lazima)   1 Tbsp Custard(Optional) 6.Samli...

Alhamisi, 19 Novemba 2015

MCHUZI WA KUKU (chicken curry).

MAHITAJI1.Kuku mzima2.Nyanya kubwa 33.Karoti mbili4.Pilipili hoho5.Kotmiri6.Tangawizi7.Kitunguu maji8.Kitunguu saumu kidogo9.Ndimu10.Mafuta ya kupikia11.Chumvi (pilipili ukipenda)MAANDALIZI1. Menya vitunguu saumu na tangawizi na uvitwange pamoja.2. Katakata kuku vipande vidogo kisha ukamulie ndimu na kupaka mchanganyiko wa tangawizi na vitunguu...

Jumatano, 18 Novemba 2015

TAMBI ZA KUKAANGA

MAHITAJI 1. Tambi Nyembamba Pakti 1 2. Sukari Glasi Ndogo1 3. Hiliki Kiasi 4. Arki Vanilla Kijiko 1 5. Zabibu Kavu Kiasi 6. Mdalasini mzima kiasi    7. Mafuta Ya Kukaangia Robo Kikombe 8. Maji Glasi Kubwa 2 MAANDALIZI 1.      Pasua tambi zako weka pembeni 2.      Menya hiliki...

Jumatano, 18 Novemba 2015

PILAU LA KUKU

MAHITAJI: 1.Mchele wa basmat nusu 2.Kuku nusu 3.Vitunguu Maji 3(vikubwa) 4.Vitunguu thomu punje 7(Kubwa) 5.Nyanya(Tungule) 1 Kubwa 6.Viungo vya pilau vizima(Mdalasini,Pilipili-Manga,Binzari nyembamba(Uzile),Hiliki)Kiasi Upendacho. 7.Karoti Kubwa moja 8.Pilipili Hoho(Pilipili Boga) moja 9.Viungo vya Pilau vya Unga Mchanganyiko(Mdalasini,Pilipili-Manga,Binzari...

Jumanne, 17 Novemba 2015

Mboga ya Spinach

1.katakata Mboga yako kisha ioshe vizuri kuondoa michanga yote. 2.Kisha kaanga kitungu maji kisha weka Pilipili hoho kisha Keroti. 3.vikipiga brown weka Nyanya moja na Chumvi kiasi acha vichemke. 4.Malizia kwa kuweka Tui lako 5. Acha ikauke 6.Pakua Mboga yako tayari kwa kula. posted from Bloggeroi...

Jumatatu, 16 Novemba 2015

Saladi ya Matunda

Matunda ni mojawapo wa kundi la vyakula, ni muhimu sana kwa afya bora. Matunda yakitengenezwa vizuri yanavutia sana na yanakuwa ni chakula kizuri sana. Mahitaji Embe iliyoiva kiasi Nanasi Tango Tikiti maji Zabibu Papai Matayarisho 1. Ondoa maganda kwenye embe, nanasi, tango, papai na tikiti maji kisha kata kata vipande vidogo vidogo vya mraba 2....