
MAHITAJI
1.Unga wa ngano nusu
2.Nazi kubwa 1
3.Hamira vijiko vya chakula 2
4.Chumvi kijiko cha chakula 1
5.Mafuta nusu kikombe cha chai
6.Ufuta nusu kikombe cha chai
7.Maji kiasi
MAANDALIZI
1.Kuna nazi na chuja kwenye chombo ujazo wa jagi dogo la
maji
2.Chekecha unga wako vizuri kwenye bakuli safi
3.Weka chumvi na uchanganye unga...