Jumatano, 22 Juni 2016

KATLESI ZA MAYAI YA KUCHEMSHA(EGGS CUTLETS)

MAHITAJI 1.Viazi Mbatata Robo(1/4 kg) 2.Mafuta ya kula nusu lita 3.Mayai yaliyo chemshwa 6 4.Chumvi kiasi 5.Juisi ya Ndimu kijiko kikubwa 1 6.Pilipili ilosagwa Nusu kijiko cha chai 7.Mayai mabichi 3 8.Unga wa mchele au wa Sembe Vijiko vya Chakula 3 9.Maji kiasi MAANDALIZI 1.Menya viazi mbatata kata vipande kiasi 2.Osha...

Ijumaa, 17 Juni 2016

MISHKAKI YA MAINI(BEEF LIVER BARBEQUE)

MAHITAJI/INGREDIENTS 1.Maini Nusu kilo 1/2 kilogram(Kg) Beef Liver 2.Tangawizi Vijiko Vya Chakula 2  2 Tbsp Grated Ginger 3.Pilipili kijiko Cha Chai 1 1 Tea Spoon Minced Fresh Chilli Pepper 4.Kitunguu thomu kijiko Cha Chai 1 1 Tea Spoon Minced Garlic Cloves 5.Chumvi kijiko Cha Chai 1  1 Tea Spoon Salt 6.Ndimu Vijiko Vya Chakula...

Jumatatu, 13 Juni 2016

KABABU ZA NYAMA NA MIKATE (BEEF KABABS WITH BREAD)

MAHITAJI/INGREDIENTS 1.Nyama ya kusaga robo  1/4kg Minced Beef 2.Kitunguu maji kikubwa kiasi 1   1 medium size Onion 3.Vitunguu thomu punje kubwa 3   3  Garlic Cloves  4.Tangawizi kijiko cha chai 1(ilotwanga)  1 Tea spoon minced Ginger 5.Pilipili ya kuwasha 1(au zaidi kama mpenzi wa pilipili)  1...

Ijumaa, 10 Juni 2016

JINSI YA KUPIKA CHAPATI LAINI/HOW TO COOK SOFT CHAPATI

JINSI YA KUPIKA CHAPATI LAINI MAANDALIZI/PREPARATION 1.Kwanza hakikisha unakanda unga vizuri  Make sure you knead the dough very well 2.Lazima unga uukande mpaka uwe laini sana   The kneaded dough must be very soft 3.Baada ya kukata madonge ya idadi ya chapati unazo zitaka  Divide the dough into any number you want 4.Wakati...

Ijumaa, 10 Juni 2016

MUHOGO WA NAZI(CASSAVA WITH COCONUT MILK SAUCE)

MAHITAJI/INGREDIENTS 1.Muhogo kiasi(kama mitano) 2.Nazi ndogo iliokunwa 3.Nyanya(Tungule) ndogo 2 4.Kitunguu maji kidogo 1 5.Pilipili Hoho(Pilipili boga) 1 6.Keroti 1 7.Pilipiil Mbuzi 1 8.Nyanya ya paket(Tomato paste) kijiko 1 9.Ndimu ndogo 1 10.Chumvi kiasi 11.Maji kiasi 12.Fish Masala kijiko cha chai 1 13.Kitunguu thomu kilotwangwa kijiko cha...

Alhamisi, 2 Juni 2016

JUISI YA PARACHICHI NA MAZIWA YA UNGA (AVOCADO WITH MILK POWDER JUICE)

MAHITAJI/INGREDIENTS 1.Parachichi kubwa kiasi 1  1 Medium Size Avocado 2.Maziwa Ya Unga Kikombe kidogo cha chai Nusu   1/2 Cup Milk Powder 3.Sukari Vijiko Vikubwa 5  5 Tbsp Sugar 4.Arki ya Ice Cream Kiduchu  Ice Cream Essence to taste 5.Maji ya Baridi Lita Moja na Nusu  1.5 Litre Cold Water 6.Ndizi mbivu 1  1 Ripen Banana 7.Ndimu...

Jumatano, 1 Juni 2016

CHAI YA VIUNGO(SPICED TEA)

MAHITAJI/INGREDIENTS 1.Maji Lita 1   1 Litre Water 2.Mdalasini mzima Vipande vikubwa 2   2 Stick Cinnamon 3.Majani ya Chai kijiko cha chakula 1   1 Tbsp Tea Leaves   4.Hiliki punje 5  5 Cardamon Cloves   5.Tangawizi ilioparwa kijiko cha chakula 1  1 Tbsp Grated Ginger 6.Sukari nusu kikombe cha Chai  1/2...