
MAHITAJI
1.Viazi Mbatata
Robo(1/4 kg)
2.Mafuta ya kula nusu
lita
3.Mayai yaliyo chemshwa
6
4.Chumvi kiasi
5.Juisi ya Ndimu kijiko
kikubwa 1
6.Pilipili ilosagwa
Nusu kijiko cha chai
7.Mayai mabichi 3
8.Unga wa mchele au wa
Sembe Vijiko vya Chakula 3
9.Maji kiasi
MAANDALIZI
1.Menya viazi mbatata
kata vipande kiasi
2.Osha...